Sunday, August 27, 2017

MBUNGE WA JIMBO LA MKURANGA MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI DARASA LA SABA

 Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Mkokozi, Makariusy Kihawa akizungumza jambo wakati wa Mahafali ya Nne yaliyofanyika Mkuranga, Mkoa wa Pwani,   jana. ambapo Mgeni rasmi alikuwa Mbunge wa Jimbo hilo, Abdallah Ulega (pichani hayupo) (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega (wapili kulia) akisaini katika kitabu cha wageni, wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Shule, Bakari Mtulia na kulia ni Diwani wa Kata ya Mwandege Wilaya ya Mkuranga, Adolph Koelo
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega (aliye simama) akizungumza jambo na katika  mahafali ya Darasa la Saba 
Baadhi ya wanafunzi wakionyesha jinsi juice na chama (chipsy) zinavyo changia kuongeza maradhi
Baadhi ya wanafunzi wakionyesha wazazi mambo waliyofundishwa Shule hapo ambayo ni ya Kisayansi zaidi, nakuwaasa wazazi wao kuacha kuwanunulia juice na chipsy (chama)

Moja wa wanafunzi akionyesha jinsi chama inayo kuwa kama gundi na akahoji, anatumia maji kukosha na haitoki je, tumboni utakosha na nini
Mwanafunzi, Ally Chizoro akionyesha paketi ya chipsy na akatoa wito kwa wazazi kutopenda kuwanunulia kitu hicho kwani vina madhara

Mwalimu wa Sayansi na Hisabati Shule ya Msingi Mkokozi, Anthony Ungelleh akisisitizia jambo hilo la kutopenda wazazi kuwanunuli chama watotowao na juice 
Mwanafunzi, Ally Chizoro akigawa chama (chipsy) na akatoa wito kwa wazazi kutopenda kuwanunulia kitu hicho 
Wazazi 
Wazazi wakifatilia Mahafali hayo kwa umakini mkubwa
Wanafunzi wanao hitimu Darasa la Saba wakicheza kwaito
Walimu wakishirikiana na wanafunzi wanao hitimu kucheza kwaito
Mwalimu Aneth Msuya akitoa burudani pamoja na wahitimu hao wakati wa Mahafali yao jana
Mbunge wa jimbo hilo akiwasili viwanja vya Shule hiyo
Mwalimu wa Taaluma,  Hadija Maarifa (kushoto)  akiwaongoza wahitimu hao kuimba nyimbo 
Afisa Elimu Kata ya Mwandege, Zainabu Mangare (kushoto) akimkabidhi mhitimu Bilali Mussa wakati wa mahafali hayo baada ya Mbunge kufungua 
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega (wa pili kushoto) akimkabidhi cheti Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mkokozi, Ally Chizora  aliyeshika nafasi ya kwanza kati ya wanafunzi 139  darasani, Kata na Wilaya wakati wa Mahafali ya Nne yaliyofanyika, Mkuranga, Mkoa wa Pwani jana.






Sunday, August 13, 2017

TUGHE TAWI LA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI, PROFESA , LAWRENCE MUSERU

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru akizungumza na wafanyakazi Bora 2017  kabla ya kuwakabidhi vyeti wafanyakazi hao. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Mwenyekiti wa Tughe  Tawi la  Hospitali ya Taifa Muhimbili, Mziwanda Chimwege (kulia) akisoma risala mbele ya mgeni rasmi ambaye alikuwa ni, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru (katikati)   wakati wa kuwapongeza wafanyakazi Bora wa 2017.kushoto ni Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa Hospitali hiyo, Makwaia Makani.

 alisema Chimwege.

Chama cha Wafanyakazi Tawi la Hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na Tughe Mkoa tunapenda kukupongeza wewe na uongozi wote kwa uboreshaji wa huduma za wagonjwa, majengo na huduma  za mawasiliano, Chimwege aliendelea kusema 

Ninayo furaha na heshima kububwa kukukaribish wewe na wageni wote waalikuwa kwa kukubali kufika katika hafla hii ya kuwapongeza wafanyakazi wako Bora wa mwaka 2017, na katika kufika kwako kunamambo muhimu  matatu nayo nikama ifuatavyo. 

Kuwapongeza wafanyakazi wako hodari 49 wa Hospitali ya Taifa Munimbili waliokidhi vigezo vyakuwa bora  kati ya wafanyakazi wengine katika mchujo wa kuwashinda vigezo wengine ambapo utawazawadia vyeti  kwa kuwatambua wao ndio wenyewe haswa katika mwaka 2017 na tatu ni kusherehekea nao pamoja katika kula nao pamoja kwani nisiku pekee kwao na kwetu pia.Chimwege alisema,

Pamoja na sisi kwa niaba ya wafanyakazi wenzetu wengine ambao wanawajibika kutoa huduma kwa kuwahudumia wagonjwa mbalimbali kwa watanzania na wasio kuwa watanzania ambao wanawajibu wa kupata huduma. Chimwege aliendea kusema.

Pamoja na mambo niliyoyaeleza hapo huu napenda kukupongeza wewe binafsi na utawala wako mzuri kwa kupoke ombi la kuwapati zawadi wafanyakazi wako wa Hospitali ya Taifa Muhimbili. alisema Chchimwege. 

Ninaimani wafanyakazi hawa wameifurahia zawadi iliyotolewa na Hospitali pia tunapenda kukupongeza wewe binafsi pamoja na uongozi wako kwa juhudi mbalimbali unazozifanya katika urekebishaji wa huduma bora kwa wagonjwa, uboreshaji wa majengo pamoja na huduma za mawasiliano ya (IT).

Kwa kiasi fulani sasa mabadilikoyanaonekana na tunawapongeza kwa hayo na Mungu awabariki na kuwaongoza na pamoja na pongezi hizo Tawi la Tghe Hospitali ya Taifa na Tughe Mko tunakuomba san kuwa na Moyo wa huruma kwa kuboresha viwango vya utowaji wa huduma kwa wengine watakao patikana kwa mwaka 2018.

Zawadi tunazo pendekeza tunaomba uchukue ukayafanyie kazi kwani tungepend kuona zawadi hizo zikatolewa na mkuu wa nchi kulinga na jina la Hospitali yetu kwani tunahitaji kumpata mfanyakazi bora wa Kitaifa ambye atakabidhi zawadi hizo na Rais wa Jamhuri ya Muungano. 

Zawadi hizi zitaongeza nidhamu majumbani na mahala pao pa kazi na kuongeza maarifa, ninaimani ombi hili litachukulikiwa na akulifanyia kazi mfanyakazi wani alama mlizopata katika tadhini ya mojamoja mfululizo kwa miaka mitatu mpaka kuchaguliwa.

Hivyo naomba mkazilinde alama hizo na kwa imani yangu  muweze kuwa wafanyakazi bora na kwa
2017 na 2018 katika mpango wa mkakati wa Hospitli yw mwaka tunategeme nguvukazi hii hivyo basi changamoto ya ucheleweshaji wa malipo, yani posho, IPPM, NHIF, Likizi nimuhimi viwe vinalipwa kwa wakati ili kuongeza morali ya kazi na naomba kusema asanteni kwa kunisikiliza 
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru (kulia) akiongozana na Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa Hospitali hiyo, Makwaia Makani wakati walipokuwa wakiingia katika viwanja vya michezo vilivyopo eneo la Muhimbili wakati wa hafla fupi ya kuwazawadia vyeti wafanyakazi Bora 49 wa hospitali ya Taifa Muhimbili



Katibu Muhutasi, Mwajuma Kissengo akizungumza kwa niaba ya wafanyakazi bora wenzake, ambapo alianza na kumshukuru  Mkurugezi wetu kutufikiria kwa kutupatia zawadi kwa kweli sisi wafanyakazi bora tunakushukuru wewe na uongozi wako na tunawaombea kwa Mungu azidi kuwa bariki. Kissengo aliendele kusem kwa kuwaomba wafanyakazi wenzake kwa kutobweteka kwa zawadi walizozipata.

Tuendeleze rekodi ya kuwa wafanyakazi bora kwa kuongeza juhudi na maarifa katika kujituma kufanya kazi kwa bidii na tupate tena kuwa wafanyakazi bora  baada ya miaka mitatu. Kissengo alisema. 

Tunkupongeza wewe na Timu yako kwa yote mnayo endelea kuyafanya katika kuiboresha Hospitali yetu na tunakushukuru sana kwa kutenga muda wako na kupata kufahamiana na hii yote ni kwa upendo wako kwa kutujali kwa kuwa na upendo na wafanyakazi wako na bila wewekutuandalia hafla hii wengiune usinge wafahamu ambao wengine ulikuwa unawasoma kwenye makaratasi.

Pia tunapenda kushukuru uongozi wa Tughe pamoja na uongozi wako kwa kutujali na pia tunakuomba uendelee kutujali na Mungu azidi kukubariki, nasema asante sana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru akifunga muziki katika hafla hiyo na Katibu Muhutasi, Mwajuma Kissengo. Kulia ni Mwenyekiti wa Tughe  Tawi la  Hospitali ya Taifa Muhimbili, Mziwanda Chimwege 
Wageni waalikwa
Baadhi ya wafanyakazi bora na wageni waalikwa





Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru (wa pili kulia) akimkabidhi cheti cha Mfanyakazi Bora Mstaafu, Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Kike na Uzazi Hospitali ya Taifa Muhimbili .Dokt. Mathew Kallanga. kuanzia kulia ni Mwenyekiti wa Tughe  Tawi la  Hospitali ya Taifa na wapili kushoto ni Mkurugenzi wa Raslimali Watu, Makwaia Makani. 






Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru (wa pili kushoto waliokaa) katika picha ya pamona na wafanyakazi bora 49 wa mwaka  2017. wa Hospitali ya Taifa Muhimbili 

Baadhi ya wafanyakazi bora Wakiburudika na waalikwa waliofika katika hafla hiyo 

Baadhi ya Wafanyakazi bora na wageni waalikwa

Friday, August 11, 2017

RAIS MSTAAFU JAKAYA MRISHO PAMOJA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASSA WAJUMUIKA NA MAMIA YA WANANCHI KATIKA MAZISHI YA BILIONEA MREMA ARUSHA


 Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la Bilionea marehemu Maleu Mrema katika ibada ya mazishi yaliyofanyika jana katika hoteli yake ya Ngurudoto iliyopo nje kidogo ya jiji la Arusha (PICHA ZOTE NA PAMELA MOLLEL, ARUSHA )
Waziri Mkuu mstaafu,Edward  Lowassa akiweka shada la maua pamoja na mke wake  katika mazishi ya bilionea Maleu Mrema jana nje kidogo ya jiji la Arusha katika hoteli ya Ngurudoto
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo akiweka shada la maua katika kaburi la marehemu Mrema katika ibada ya mazishi yaliyofanyika katika hoteli yake ya Ngurudoto iliyopo nje kidogo ya jiji la Arusha
 Baadhi ya wake za marehemu wakiweka udongo katika kaburi la mpendwa wao

 Waziri Mstaafu wa mambo ya nje Benard Membe akiweka shada la maua katika kaburi la Bilione Mrema

 Meneja mahusiano Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete akiweka shada la maua katika kaburi la Bilione Mrema

 Watoto wa marehemu wakiwa wamebeba mashada ya maua

 Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete wakisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu,Edward  Lowassa katika mazishi ya bilionea Maleu Mrema  nje kidogo ya jiji la Arusha katika hoteli ya Ngurudoto
 Baadhi ya wanakamati wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Mrema kuelekea katika eneo maalumu lililotengwa na familia kwaajili ya maziko
 watoto wakiwa wanaweka udongo katika kaburi la baba yao
 Wake wa marehemu na ndugu na jamaa wakiingia katika eneo maalumu lililotengwa kwaajili ya maziko
 Kulia ni Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete,katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo pamoja na
Abdulrahman Omari Kinana wakiteta jambo katika msiba wa Mrema
 Wake wa marehemu Mrema wakiwa katika huzuni kulia aliyevalia suti nyeusi ni baba mzazi wa Bilionea huyo
 Mh Abdulrahman Omari Kinana mara baada ya kuweka shada la maua
 Jeneza la marehe Bilionea Maleu Mrema likiwa linashushwa katika nyumba yake ya milele
Wanafamilia wakiwa katika picha ya pamoja na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete
Nyumba ya milele ya Bilionea Maleu Mrema