Monday, January 8, 2018

CHAMA KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU DAR ES SALAAM

Mmiliki wa Ujijirahaa blog anaungana na ndugu jamaa, marafiki na wapenzi wote wa Mpira na familia ya Athuman Chama katika kumuombea Dua na kumsindikiza  mpendwa wetu Chama katika kumpumzisha kwenye nyuma ya milele, Mungu ampumzishe kwa amani ndugu yetu kipenzi chetu, pumzika kwa amani  Allah muondoshee madhila ya kaburini (Amiin). (PICHA KWA HISANI YA UJIJIRAHAA BLOG)

No comments:

Post a Comment